sw_tn/gen/15/06.md

582 B

Akamwamini Yahwe

Hii ina maana alipokea na kuamini kile Yahwe alichosema ni kweli.

akamuhesabia jambo hili kuwa mwenye haki

"Yahwe alimhesabia imani ya Abramu kama haki" au "Yahwe alimchukulia Abramu kuwa na haki kwa sababu Abramu alimuamini"

Mimi ni Yahwe, niliye kutoa katika Uru

Yahwe alikuwa akimkumbusha Abrahamu kile alichokuwa amefanya ili Abrahamu aweze kumjua Yahwe alikuwa na nguvu kumpatia Abramu kile alichomuahidi.

kuirithi

"kukipokea" au "ili kwamba ukimiliki"

nitajua je

Abramu alikuwa akiulizia ushahidi zaidi ya kwamba Yahwe atampatia ile nchi.