sw_tn/gen/14/17.md

258 B

kurudi

Taarifa inayodokezwa kuhusu wapi alipokuwa anarudi inaweza kuwekwa wazi. "alirudi hadi pale alipokuwa akiishi"

Melkizedeki, mfalme wa Salemu

Hii ni mara ya kwanza mfalme huyu anatajwa.

mkate na divai

Watu hula mkate na divai mara kwa mara.