forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
258 B
Markdown
12 lines
258 B
Markdown
|
# kurudi
|
||
|
|
||
|
Taarifa inayodokezwa kuhusu wapi alipokuwa anarudi inaweza kuwekwa wazi. "alirudi hadi pale alipokuwa akiishi"
|
||
|
|
||
|
# Melkizedeki, mfalme wa Salemu
|
||
|
|
||
|
Hii ni mara ya kwanza mfalme huyu anatajwa.
|
||
|
|
||
|
# mkate na divai
|
||
|
|
||
|
Watu hula mkate na divai mara kwa mara.
|