forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
363 B
Markdown
16 lines
363 B
Markdown
# akaondoka kutoka
|
|
|
|
"kwenda" au "kuondoka kutoka"
|
|
|
|
# akaenda Negebu
|
|
|
|
Negebu ilikuwa ni eneo la jangwa kusini mwa Kanaani, magharibi mwa Misri. Hii inaweza kufanywa kwa uwazi. "akarudi katika jangwa la Negebu"
|
|
|
|
# Abram alikuwa tajiri wa wanyama, fedha na dhahabu
|
|
|
|
"Abramu alikuwa na wanyama wengi, fedha nyingi na dhahabu nyingi"
|
|
|
|
# wanyama
|
|
|
|
"mifugo" au "ng'ombe"
|