sw_tn/gen/13/01.md

363 B

akaondoka kutoka

"kwenda" au "kuondoka kutoka"

akaenda Negebu

Negebu ilikuwa ni eneo la jangwa kusini mwa Kanaani, magharibi mwa Misri. Hii inaweza kufanywa kwa uwazi. "akarudi katika jangwa la Negebu"

Abram alikuwa tajiri wa wanyama, fedha na dhahabu

"Abramu alikuwa na wanyama wengi, fedha nyingi na dhahabu nyingi"

wanyama

"mifugo" au "ng'ombe"