sw_tn/gen/11/10.md

578 B

Taarifa ya jumla

Sura iliyosalia inaorodhesha mtiririko wa vizazi vya Shemu mpaka vya Abramu.

Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Shemu

Sentensi hii inaanza orodha ya vizazi vya Shemu.

gharika

Hii ilikuwa gharika kutoka kipindi cha Nuhu ambapo watu walikuwa waovu sana mpaka Mungu akatuma gharika nchi yote kufunika nchi.

akawa baba wa Alfaksadi

"akapata mwana wake wa kiume Alfaksadi" au "mwana wake wa kiume Alfaksadi alizaliwa"

Alfaksadi

jina la mwanamume

mia moja ... miwili ... mia tano

Watafsiri wanaweza kuandika maneno au namba "100", "2", and "500".