forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
578 B
Markdown
24 lines
578 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Sura iliyosalia inaorodhesha mtiririko wa vizazi vya Shemu mpaka vya Abramu.
|
||
|
|
||
|
# Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Shemu
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaanza orodha ya vizazi vya Shemu.
|
||
|
|
||
|
# gharika
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa gharika kutoka kipindi cha Nuhu ambapo watu walikuwa waovu sana mpaka Mungu akatuma gharika nchi yote kufunika nchi.
|
||
|
|
||
|
# akawa baba wa Alfaksadi
|
||
|
|
||
|
"akapata mwana wake wa kiume Alfaksadi" au "mwana wake wa kiume Alfaksadi alizaliwa"
|
||
|
|
||
|
# Alfaksadi
|
||
|
|
||
|
jina la mwanamume
|
||
|
|
||
|
# mia moja ... miwili ... mia tano
|
||
|
|
||
|
Watafsiri wanaweza kuandika maneno au namba "100", "2", and "500".
|