forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
322 B
Markdown
12 lines
322 B
Markdown
# kutoka pale
|
|
|
|
"kutoka katika mji"
|
|
|
|
# jina lake ukaitwa Babeli, kwa sababu hapo Yahwe alivuruga
|
|
|
|
Jina la "Babeli" linaonekana kama neno lenye maana ya "kuchanganyikiwa"
|
|
|
|
# alivuruga lugha ya nchi yote
|
|
|
|
Ina maana ya kwamba Yahwe alisababisha watu wote katika nchi kutozungumza lugha moja. "alichanganya lugha ya nchi yote"
|