sw_tn/gen/11/08.md

322 B

kutoka pale

"kutoka katika mji"

jina lake ukaitwa Babeli, kwa sababu hapo Yahwe alivuruga

Jina la "Babeli" linaonekana kama neno lenye maana ya "kuchanganyikiwa"

alivuruga lugha ya nchi yote

Ina maana ya kwamba Yahwe alisababisha watu wote katika nchi kutozungumza lugha moja. "alichanganya lugha ya nchi yote"