forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
406 B
Markdown
12 lines
406 B
Markdown
# Toka nje ... 17Wachukuwe
|
|
|
|
"Ondoka ...Chukua" Baadhi ya tafsiri husoma "Njoo nje ... Leta nje".
|
|
|
|
# kila kiumbe hai chenye mwili
|
|
|
|
"kila aina ya kiumbe hai" Maana yaweza kuwa 1) wanadamu wote au 2) viumbe vyote vyenye mwili, ikijumlisha wanadamu na wanyama.
|
|
|
|
# kwa kuzaliana na kuongezeka
|
|
|
|
Hii ni lahaja. Jazeni nchi na watu. Mungu alitaka wanadamu na wanyama kuzaliana, ili waweze kuwa wengi wa aina yao.
|