sw_tn/gen/08/15.md

406 B

Toka nje ... 17Wachukuwe

"Ondoka ...Chukua" Baadhi ya tafsiri husoma "Njoo nje ... Leta nje".

kila kiumbe hai chenye mwili

"kila aina ya kiumbe hai" Maana yaweza kuwa 1) wanadamu wote au 2) viumbe vyote vyenye mwili, ikijumlisha wanadamu na wanyama.

kwa kuzaliana na kuongezeka

Hii ni lahaja. Jazeni nchi na watu. Mungu alitaka wanadamu na wanyama kuzaliana, ili waweze kuwa wengi wa aina yao.