forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
329 B
Markdown
20 lines
329 B
Markdown
# akawa baba wa Enoshi
|
|
|
|
Hapa "baba" inamaana ya baba mzazi, na sio babu. "akamzaa mwana wake wa kiume Enoshi"
|
|
|
|
# Enoshi
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu
|
|
|
|
# naye akawa baba wa wana wengi waume na wake
|
|
|
|
"na akawa na wana zaidi wa kiume na kike"
|
|
|
|
# Sethi akaishi miaka 912
|
|
|
|
"Sethi aliishi jumla ya miaka 912"
|
|
|
|
# kisha akafariki
|
|
|
|
"Kisha akafa"
|