sw_tn/gen/05/06.md

329 B

akawa baba wa Enoshi

Hapa "baba" inamaana ya baba mzazi, na sio babu. "akamzaa mwana wake wa kiume Enoshi"

Enoshi

Hili ni jina la mtu

naye akawa baba wa wana wengi waume na wake

"na akawa na wana zaidi wa kiume na kike"

Sethi akaishi miaka 912

"Sethi aliishi jumla ya miaka 912"

kisha akafariki

"Kisha akafa"