forked from WA-Catalog/sw_tn
610 B
610 B
130 ... mia nane
Watafsiri wanaweza kuandika tarakimu "130" na "800" au maneno "mia moja na thelathini" na "mia nane".
akamzaa mwana katika sura yake
"akamzaa mwana wa kiume"
katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake
Misemo hii miwili inamaana moja. Inatumika kama kumbukumbu ya kwamba Mungu alimuumba binadamu katika mfano wake.
Sethi
Sethi
Akawazaa wana wengi waume na wake
"Akawa na wana zaidi wa kiume na kike"
kisha akafariki
Msemo huu utarudiwa katika sura yote. "Kisha akaafa"
Adamu akaishi miaka 930
Watu walikuwa wakiishi muda mrefu sana. "Adamu aliishi jumla ya miaka 930"