sw_tn/gen/05/03.md

610 B

130 ... mia nane

Watafsiri wanaweza kuandika tarakimu "130" na "800" au maneno "mia moja na thelathini" na "mia nane".

akamzaa mwana katika sura yake

"akamzaa mwana wa kiume"

katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake

Misemo hii miwili inamaana moja. Inatumika kama kumbukumbu ya kwamba Mungu alimuumba binadamu katika mfano wake.

Sethi

Sethi

Akawazaa wana wengi waume na wake

"Akawa na wana zaidi wa kiume na kike"

kisha akafariki

Msemo huu utarudiwa katika sura yote. "Kisha akaafa"

Adamu akaishi miaka 930

Watu walikuwa wakiishi muda mrefu sana. "Adamu aliishi jumla ya miaka 930"