forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
610 B
Markdown
28 lines
610 B
Markdown
|
# 130 ... mia nane
|
||
|
|
||
|
Watafsiri wanaweza kuandika tarakimu "130" na "800" au maneno "mia moja na thelathini" na "mia nane".
|
||
|
|
||
|
# akamzaa mwana katika sura yake
|
||
|
|
||
|
"akamzaa mwana wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili inamaana moja. Inatumika kama kumbukumbu ya kwamba Mungu alimuumba binadamu katika mfano wake.
|
||
|
|
||
|
# Sethi
|
||
|
|
||
|
Sethi
|
||
|
|
||
|
# Akawazaa wana wengi waume na wake
|
||
|
|
||
|
"Akawa na wana zaidi wa kiume na kike"
|
||
|
|
||
|
# kisha akafariki
|
||
|
|
||
|
Msemo huu utarudiwa katika sura yote. "Kisha akaafa"
|
||
|
|
||
|
# Adamu akaishi miaka 930
|
||
|
|
||
|
Watu walikuwa wakiishi muda mrefu sana. "Adamu aliishi jumla ya miaka 930"
|