forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
733 B
Markdown
36 lines
733 B
Markdown
# bustani ya Edeni
|
|
|
|
"bustani iliyokuwa Edeni"
|
|
|
|
# kuilima
|
|
|
|
"kuilima". Hii ina maana ya kufanya kila kitu cha muhimu ili mimea iweze kuota vizuri.
|
|
|
|
# kuitunza
|
|
|
|
kuilinda dhidi ya mambo mabaya yanayoweza kuikuta
|
|
|
|
# kutoka kwenye kila mti bustanini
|
|
|
|
"Tunda katika kila mti la bustani"
|
|
|
|
# wewe
|
|
|
|
kiwakilishi ni cha kipekee
|
|
|
|
# waweza kula kwa uhuru ...usile
|
|
|
|
Katika baadhi ya lugha ni kawaida kusema kile ambacho hakiruhusiwi na kisha kusema kile ambacho hakiruhusiwi.
|
|
|
|
# waweza kula kwa uhuru
|
|
|
|
"waweza kula bila kizuizi"
|
|
|
|
# mti wa ujuzi wa mema na mabaya
|
|
|
|
"mti unaowapa watu uwezo wa kuelewa mema na mabaya" au "mti unaowafanya watu wanaokula matunda yake kujua mambo mazuri na mambo mabaya.
|
|
|
|
# usile
|
|
|
|
"sitakuruhusu ule" au "haupaswi kula"
|