forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
551 B
Markdown
20 lines
551 B
Markdown
# ndugu
|
|
|
|
Hapa inamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni.
|
|
|
|
# lugha za kibinadamu
|
|
|
|
"kama mtu" au "mambo ambayo watu wengi huyaelewa"
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Paulo anaonesha kuwa amejadili kanuni ya jumla na sasa anatambulisha jambo la kipekee.
|
|
|
|
# kumaanisha wengi
|
|
|
|
"kumaanisha uzao wa mwingi"
|
|
|
|
# kwa kizazi chako
|
|
|
|
Neno "chako" ni umoja, na unarejelea kwa mtu mmoja mahususi, ambaye ni uzao wa Ibrahimu ( na uzao huo unaainishwa kama "Kristo")
|