sw_tn/gal/03/15.md

551 B

ndugu

Hapa inamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni.

lugha za kibinadamu

"kama mtu" au "mambo ambayo watu wengi huyaelewa"

Sasa

Paulo anaonesha kuwa amejadili kanuni ya jumla na sasa anatambulisha jambo la kipekee.

kumaanisha wengi

"kumaanisha uzao wa mwingi"

kwa kizazi chako

Neno "chako" ni umoja, na unarejelea kwa mtu mmoja mahususi, ambaye ni uzao wa Ibrahimu ( na uzao huo unaainishwa kama "Kristo")