sw_tn/gal/03/15.md

20 lines
551 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# ndugu
Hapa inamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni.
# lugha za kibinadamu
"kama mtu" au "mambo ambayo watu wengi huyaelewa"
# Sasa
Paulo anaonesha kuwa amejadili kanuni ya jumla na sasa anatambulisha jambo la kipekee.
# kumaanisha wengi
"kumaanisha uzao wa mwingi"
# kwa kizazi chako
Neno "chako" ni umoja, na unarejelea kwa mtu mmoja mahususi, ambaye ni uzao wa Ibrahimu ( na uzao huo unaainishwa kama "Kristo")