forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
657 B
Markdown
28 lines
657 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Orodha ya majina ya wanaume inaendelea
|
|
|
|
# wana wa Shephatia,Zebadia mwana wa Mikaeli
|
|
|
|
Hiki ni kitu cha pili katika orodha. Kinaweza kuandikwa pamoja na kitendo "ilikuwa." AT:"Kiongozi wa wana wa Shephatia alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli" au "Zebadia mwana wa Mikaeli alikuwa ni kiongozi wa wana wa Shephatia"
|
|
|
|
# Shephatia
|
|
|
|
Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:3
|
|
|
|
# Mikaeli
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu.
|
|
|
|
# na pamoja naye walikuwa wameorodheshwa wanaume themanini
|
|
|
|
"na pamoja na Zebadia walikuwa wameorodheshwa wanaume themanini"
|
|
|
|
# Bebai
|
|
|
|
Tafsiri hii kama ulivyofanya katika 2:11
|
|
|
|
# themanini...ishirini...nane
|
|
|
|
nane- "80...28"
|