forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
354 B
Markdown
20 lines
354 B
Markdown
# Neno la Yahwe likaja
|
|
|
|
"Yahwe akanena neno lake."
|
|
|
|
# Gogu
|
|
|
|
Hili ni jina la kiongozi au mfalme aliyetawala katika nchi ya Magogu.
|
|
|
|
# nchi ya Magogu
|
|
|
|
Inaonyesha kwamba hii ni nchi ambayo Gogu alitawala.
|
|
|
|
# Magogu
|
|
|
|
jina la zamani la taifa ambalo kwa sasa ni Uturuki.
|
|
|
|
# kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali
|
|
|
|
Usemi huu umetokea mara mbili katika mistari hii.
|