forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
743 B
Markdown
32 lines
743 B
Markdown
# neno la Yahwe likaja
|
|
|
|
"yahwe akanena neno lake." Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1.
|
|
|
|
# mwanadamu
|
|
|
|
tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.
|
|
|
|
# Kwa ajili ya Yuda
|
|
|
|
"Inawakilisha Yuda"
|
|
|
|
# Yuda
|
|
|
|
Kabila la Yda liliishi uapande wa utawala wa kuskazini mwa Israeli ambayo iliitwa Yuda. hapa hili jina limetumika kurejea ufalme wote wa kusini.
|
|
|
|
# watu wa wote Israeli, wenzake
|
|
|
|
Hii inarejea kwa Waisraeli walioishi katika ufalme wa kusini mwa Yuda.
|
|
|
|
# Efraimu
|
|
|
|
Kabila la Efraimu liliishi katika ufalme wa kusini mwa Israeli. Hapa hili jina limetumika kurejea ufalme wote wa kaskazini.
|
|
|
|
# watu wote wa Israeli, wenzao
|
|
|
|
Hii inarejea kwa Waisraeli walioishi upande wa ufalme kaskazini mwa Israeli.
|
|
|
|
# kwenye fimbo moja
|
|
|
|
"ili kwamba wawe fimbo moja"
|