forked from WA-Catalog/sw_tn
354 B
354 B
nitaleta upanga mbele yao
Neno "upanga" limetumika kurejea kwa jeshi la watu wanaobeba panga.
wakati nitakapo watawanya kwenye nchi zote
Haya maneno mawili kimsingi yana maanisha kitu kimoja. "nitakapowafanya wasambaratike kila mmoja na kuishi katika mataifa tofauti tofauti."
kutoka ule upanga
Neno "upanga" linarejea kuuawa katika kupigana.