forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
354 B
Markdown
12 lines
354 B
Markdown
|
# nitaleta upanga mbele yao
|
||
|
|
||
|
Neno "upanga" limetumika kurejea kwa jeshi la watu wanaobeba panga.
|
||
|
|
||
|
# wakati nitakapo watawanya kwenye nchi zote
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili kimsingi yana maanisha kitu kimoja. "nitakapowafanya wasambaratike kila mmoja na kuishi katika mataifa tofauti tofauti."
|
||
|
|
||
|
# kutoka ule upanga
|
||
|
|
||
|
Neno "upanga" linarejea kuuawa katika kupigana.
|