|
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Mungu ananena na Ezekieli kueleza jinsi atakavyotenda lile fumbo.
|
|
|
|
# katika uso wao
|
|
|
|
Neno "wao" inarejea kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Nyumba ya Israeli
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika 3:16.
|
|
|
|
# nimekuweka kama ishara
|
|
|
|
"nimekuweka kama sahihisho kwa kufikiria kwao"
|