sw_tn/ezk/12/04.md

276 B

Maelezo ya Jumla:

Mungu ananena na Ezekieli kueleza jinsi atakavyotenda lile fumbo.

katika uso wao

Neno "wao" inarejea kwa watu wa Israeli.

Nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:16.

nimekuweka kama ishara

"nimekuweka kama sahihisho kwa kufikiria kwao"