forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
945 B
Markdown
40 lines
945 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Haya ni maneno ya Yahwe kwa Ezekieli kuhusu Israeli.
|
|
|
|
# Tengeneza mnyororo
|
|
|
|
Minyororo hutumika kushikilia watumwa au wafungwa. Mungu anasema hivi kuonyesha watu ambao watakuwa watumwa au wafungwa.
|
|
|
|
# nchi imejawa na hukumu ya damu
|
|
|
|
"kila sehemu katika nchi Mungu anawahukumu watu kwa sababu wamewaua watu wengine vikali sana."
|
|
|
|
# mji umejaa udhalimu
|
|
|
|
"Udhalimu u kila mahali katika mji" au "watu wengi katika mji wanafanya mambo maovu kwa wengine"
|
|
|
|
# na watamiliki nyumba zao
|
|
|
|
"waovu watazichukua nyumba za Israeli"
|
|
|
|
# nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza
|
|
|
|
nitawafanya watu wenye nguvu katika Israeli kuacha kujiona fahari"
|
|
|
|
# mahali pao patakatifu patanajisiwa!
|
|
|
|
Maadui watapanajisi mahali mnapo abudia."
|
|
|
|
# mahali pao patakatifu
|
|
|
|
mahali ambapo walipoabudia sanamu.
|
|
|
|
# Hofu itakuja
|
|
|
|
"Watu watakuwa na hofu"
|
|
|
|
# Wataitafuta amani
|
|
|
|
"Watatumaini tumaini kwa ajili ya amani" au "Watajaribu kufanya amani pamoja na maadui zao"
|