forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
314 B
Markdown
16 lines
314 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
|
|
|
|
# Naye akafanya ... Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba
|
|
|
|
Kwa 38:1-3 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:1 na 27:3
|
|
|
|
# Mikono
|
|
|
|
Mkona mmoja ni sentimita 46
|
|
|
|
# Pembe zake zilitoka kwake
|
|
|
|
Hii yaweza andikwa tensi tendaji.
|