forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
643 B
Markdown
32 lines
643 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Musa anaendelea kujadiliana na Mungu asiharibu Israeli.
|
|
|
|
# Kwa nini Wamisri kusema, 'Amewatoa ... kuwaondoa watoke juu ya uso wa nchi?'
|
|
|
|
Musa ametumia ili swali kumshawishi Mungu asiharibu watu wake.
|
|
|
|
# uso wa nchi
|
|
|
|
"kutoka kwneye uso wa dunia" au "kutoka kwenye dunia"
|
|
|
|
# Geuka katika hasira yako kali
|
|
|
|
"acha hasira yako kali" au "acha kuwa na hasira sana"
|
|
|
|
# hasira yako kali
|
|
|
|
Musa anazungumzia hasira ya Mungu kana kwamba ni moto uliyo kuwa wa waka.
|
|
|
|
# Mkumbuke Ibrahimu
|
|
|
|
"Fikiria kuhusu Ibrahimu"
|
|
|
|
# kuwaambia
|
|
|
|
"alifanya nadhiri"
|
|
|
|
# watairithi milele
|
|
|
|
Mungu anazungumzia kuhusu wao miliki nchi kana kwamba watairithi.
|