forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
768 B
Markdown
36 lines
768 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
|
|
|
|
# Chandarua
|
|
|
|
Hii ilikuwa pazia lililo tengenezwa kwa kitambaa.
|
|
|
|
# nguzo
|
|
|
|
Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa juu.
|
|
|
|
# vitako
|
|
|
|
Hizi zilikuwa matofali ya chuma yenye nafasi ya kushikilia nguzo
|
|
|
|
# dhiraa kumi na tano
|
|
|
|
kiasi cha mita saba
|
|
|
|
# Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini
|
|
|
|
Hii yaweza andikwa kama amri.
|
|
|
|
# kitakuwa cha nguo ... kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji
|
|
|
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
|
|
|
# buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa
|
|
|
|
Maana inayo wezekana ni 1) "kitambaa kilicho tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau, na nyekundu"
|
|
|
|
# mshonaji
|
|
|
|
mtu anaye shona mishono kwenye nguo
|