forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
741 B
Markdown
24 lines
741 B
Markdown
# tamanio langu litatimizwa kwao
|
|
|
|
Hii yaweza elezwa katika tensi tendaji.
|
|
|
|
# mkono wangu utawaharibu wao
|
|
|
|
Maadui wanaongea kuwaharibu Waisraeli kwa nguvu ya mkono wao kana kwamba ni mikono itakyo waharibu.
|
|
|
|
# Lakini ulipuliza kwa upepo wako
|
|
|
|
Musa aliongea kuhusu Mungu kufanya upepo upulize kana kwamba Mungu alipuliza upepo kupitia pua au mdomo.
|
|
|
|
# walizama kama chuma nzito kwenye maji mengi
|
|
|
|
Chuma ni kifaa kizito kinacho tumika kawaida kufanya vitu vizame majini. Neno "chuma" linatumika hapa kuonyesha jinsi Mungu alivyo haribu maadui zake.
|
|
|
|
# Ni nani kama wewe, Yahweh, miongoni mwa miungu?
|
|
|
|
Musa anatumia hili swali kuonyesha jinsi alivyo mkuu.
|
|
|
|
# Nani kama ... fanya miujiza?
|
|
|
|
Musa anatumia hili swali kuonyesha jinsi alivyo mkuu.
|