forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
316 B
Markdown
8 lines
316 B
Markdown
# Ametupa magari ya farasi ya Farao na jeshi lake kwenye bahari
|
|
|
|
Musa anaimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika magari ya Farao na jeshi kana kwamba Mungu amewatupa baharini.
|
|
|
|
# walienda kwenye kina kama jiwe
|
|
|
|
Kama jiwe lisivyo elea lakini la zama chini ya bahari, majeshi ya maadui yamezama chini ya bahari.
|