sw_tn/eph/06/05.md

713 B

watumwa, iweni watiifu kwa

"Ninyi watumwa mnapaswa kutii"

kwa heshima kubwa na kutetemeka

Hizi ni njia mbili zinazofanana kuonyesha heshima kuhusu mabwana zao.

kutetemeka kwa hofu itokayo mioyoni mwenu. Tiini kama vile mnavyomtii kristo

"Nyeyekeeni kwa hofu, kama kumtii kristo"

usiwe tu pale mabwana zenu wanapowatazama

"siku zote fanya kazi kama ulivyokuwa ukifanya kazi kwa ajili ya kristo mwenyewe, hata kama mabwana zenu hawawatazami"

kama watumwa wa Kristo

watumikieni mabwana zenu ingawa bwana wenu duniani ni Kristo.

Watumikieni kwa mioyo yenu yote. Kana kwamba kumtumikia Bwana na wala si wanadamu

"fanya kwa furaha maana unafanya kwa ajili ya Bwana na si kuwafurahisha wanadamu."