forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
713 B
Markdown
24 lines
713 B
Markdown
|
# watumwa, iweni watiifu kwa
|
||
|
|
||
|
"Ninyi watumwa mnapaswa kutii"
|
||
|
|
||
|
# kwa heshima kubwa na kutetemeka
|
||
|
|
||
|
Hizi ni njia mbili zinazofanana kuonyesha heshima kuhusu mabwana zao.
|
||
|
|
||
|
# kutetemeka kwa hofu itokayo mioyoni mwenu. Tiini kama vile mnavyomtii kristo
|
||
|
|
||
|
"Nyeyekeeni kwa hofu, kama kumtii kristo"
|
||
|
|
||
|
# usiwe tu pale mabwana zenu wanapowatazama
|
||
|
|
||
|
"siku zote fanya kazi kama ulivyokuwa ukifanya kazi kwa ajili ya kristo mwenyewe, hata kama mabwana zenu hawawatazami"
|
||
|
|
||
|
# kama watumwa wa Kristo
|
||
|
|
||
|
watumikieni mabwana zenu ingawa bwana wenu duniani ni Kristo.
|
||
|
|
||
|
# Watumikieni kwa mioyo yenu yote. Kana kwamba kumtumikia Bwana na wala si wanadamu
|
||
|
|
||
|
"fanya kwa furaha maana unafanya kwa ajili ya Bwana na si kuwafurahisha wanadamu."
|