sw_tn/eph/05/18.md

444 B

sentensi unganishi

Paulo anamaliza maelekezo yake kwa jinsi gani waamini wapswa kuishi.

Na usilewe kwa mvinyo

"Na usilewe kutokana na kunywa mvinyo"

badala yake uwe umejaa na Roho Mtakatifu

"badala yake uwe uliyejaa na Roho Mtakatifu"

katika zaburi na sifa na nyimbo za kiroho

"pamoja na aina zote za nyimbo za kumsifu Mungu"

daima mkitoa shukrani

"Mtoe shukrani daima"

mkijitoa wenyewe

"Kwa unyenyekevu jitoeni wenyewe"