forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
444 B
Markdown
24 lines
444 B
Markdown
|
# sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anamaliza maelekezo yake kwa jinsi gani waamini wapswa kuishi.
|
||
|
|
||
|
# Na usilewe kwa mvinyo
|
||
|
|
||
|
"Na usilewe kutokana na kunywa mvinyo"
|
||
|
|
||
|
# badala yake uwe umejaa na Roho Mtakatifu
|
||
|
|
||
|
"badala yake uwe uliyejaa na Roho Mtakatifu"
|
||
|
|
||
|
# katika zaburi na sifa na nyimbo za kiroho
|
||
|
|
||
|
"pamoja na aina zote za nyimbo za kumsifu Mungu"
|
||
|
|
||
|
# daima mkitoa shukrani
|
||
|
|
||
|
"Mtoe shukrani daima"
|
||
|
|
||
|
# mkijitoa wenyewe
|
||
|
|
||
|
"Kwa unyenyekevu jitoeni wenyewe"
|