forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
704 B
Markdown
24 lines
704 B
Markdown
# roho ya hekima na mafunuo ya ufahamu wake
|
|
|
|
":hekima ya kiroho ya kufahamu mafunuo yake"
|
|
|
|
# macho yenu ya moyoni yatiwe nuru
|
|
|
|
"kipengele macho ya rohoni "inaelezea uwezo wa mtu kupata ufahamu.'kwamba upate ufahamu na kutiwa nuru."
|
|
|
|
# macho yenu ya moyoni yatiwe nuru
|
|
|
|
Hii yawezwa tajwa kama njeo tendaji. Ili Mungu awatie nuru mioyo yenu" au "kwamba Mungu awatie nuru ufahamu wenu"
|
|
|
|
# kutiwa nuru
|
|
|
|
"kufanywa kuona"
|
|
|
|
# urithi
|
|
|
|
Kupokea kile ambacho Mungu amewaahidi waamini, ya elezewa kana kwamba mtu anarithi mali na utajiri kutoka kwa nduguye wa familia.
|
|
|
|
# watakatifu wote wa Mungu
|
|
|
|
Hii yawezwa tajwa kama njeo tendaji. "Wote wale ambao amewatenga kwa ajili yake" au "wote wale ambao ni wake kabisa"
|