sw_tn/eph/01/17.md

704 B

roho ya hekima na mafunuo ya ufahamu wake

":hekima ya kiroho ya kufahamu mafunuo yake"

macho yenu ya moyoni yatiwe nuru

"kipengele macho ya rohoni "inaelezea uwezo wa mtu kupata ufahamu.'kwamba upate ufahamu na kutiwa nuru."

macho yenu ya moyoni yatiwe nuru

Hii yawezwa tajwa kama njeo tendaji. Ili Mungu awatie nuru mioyo yenu" au "kwamba Mungu awatie nuru ufahamu wenu"

kutiwa nuru

"kufanywa kuona"

urithi

Kupokea kile ambacho Mungu amewaahidi waamini, ya elezewa kana kwamba mtu anarithi mali na utajiri kutoka kwa nduguye wa familia.

watakatifu wote wa Mungu

Hii yawezwa tajwa kama njeo tendaji. "Wote wale ambao amewatenga kwa ajili yake" au "wote wale ambao ni wake kabisa"