sw_tn/eph/01/11.md

391 B

Tulichaguliwa kuwa warithi

Hii yaweza nenwa kama kauli tendaji. "Mungu ametuchagua sisi kuwa warithi"

Tumechaguliwa... ni sisi ambao ni wa kwanza

"Mungu alituchagua hapo awali"

Ili kwamba tuwe wa kwanza

Hapa neno "sisi" la husu wa Yahudi waamini walio sikia habari njema, sio waamini wa Efeso.

Ili kwamba tuwe sifa za utukufu wake

"ili kwamba tuishi kumsifu kwa utukufu wake.