forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
391 B
Markdown
16 lines
391 B
Markdown
|
# Tulichaguliwa kuwa warithi
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza nenwa kama kauli tendaji. "Mungu ametuchagua sisi kuwa warithi"
|
||
|
|
||
|
# Tumechaguliwa... ni sisi ambao ni wa kwanza
|
||
|
|
||
|
"Mungu alituchagua hapo awali"
|
||
|
|
||
|
# Ili kwamba tuwe wa kwanza
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "sisi" la husu wa Yahudi waamini walio sikia habari njema, sio waamini wa Efeso.
|
||
|
|
||
|
# Ili kwamba tuwe sifa za utukufu wake
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba tuishi kumsifu kwa utukufu wake.
|