sw_tn/eph/01/07.md

487 B

Kwa mwana wake wa kipekee

"kwa mwana wa Mungu wa kipekee, Yesu Kristo"

Utajiri wa neema yake

Paulo anazungumzia neema ya Mungu kana kwamba ilikuwa ni vitu vya thamani: "ukuu wa neema ya Mungu" au "kushikamana na neema ya Mungu"

Ametumwagia hii neema kwa sana

"Ametupa sisi hiki kiasi kikubwa cha neema" au " Amekuwa mkarimu sana kwetu"

katika hekima na ufahamu

Yamkini tafsiri zilizopo ni 1) "sababu anayo hekima zote na ufahamu" 2) "ilituwe na hekima kubwa na ufahamu"