forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
487 B
Markdown
16 lines
487 B
Markdown
|
# Kwa mwana wake wa kipekee
|
||
|
|
||
|
"kwa mwana wa Mungu wa kipekee, Yesu Kristo"
|
||
|
|
||
|
# Utajiri wa neema yake
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia neema ya Mungu kana kwamba ilikuwa ni vitu vya thamani: "ukuu wa neema ya Mungu" au "kushikamana na neema ya Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Ametumwagia hii neema kwa sana
|
||
|
|
||
|
"Ametupa sisi hiki kiasi kikubwa cha neema" au " Amekuwa mkarimu sana kwetu"
|
||
|
|
||
|
# katika hekima na ufahamu
|
||
|
|
||
|
Yamkini tafsiri zilizopo ni 1) "sababu anayo hekima zote na ufahamu" 2) "ilituwe na hekima kubwa na ufahamu"
|