sw_tn/ecc/01/16.md

310 B

nimetia moyo wangu

"Nikusudia" au "Niliamua"

upumbavu na ujinga

Maneno "upumbavu" na "ujinga" yana maana ya kufanana na zinamaanisha kufikiri kwa kijinga na matendo.

kujaribu kuuchunga upepo

Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.