sw_tn/ecc/01/16.md

12 lines
310 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# nimetia moyo wangu
"Nikusudia" au "Niliamua"
# upumbavu na ujinga
Maneno "upumbavu" na "ujinga" yana maana ya kufanana na zinamaanisha kufikiri kwa kijinga na matendo.
# kujaribu kuuchunga upepo
Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.