forked from WA-Catalog/sw_tn
310 B
310 B
nimetia moyo wangu
"Nikusudia" au "Niliamua"
upumbavu na ujinga
Maneno "upumbavu" na "ujinga" yana maana ya kufanana na zinamaanisha kufikiri kwa kijinga na matendo.
kujaribu kuuchunga upepo
Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.