forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
592 B
Markdown
16 lines
592 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Mus anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
|
|
|
|
# Watoto wa kiume na mabinti zako watapewa kwa watu wengine
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Nitawapa watoto na binti zako kwa watu wengine" au " Maadui zako watawachukua watoto na binti zako"
|
|
|
|
# macho yako yatawatafuta siku nzima, lakini yatashindwa kwa shauku juu yao.
|
|
|
|
Hapa "macho yako" urejea kwa mtu mzima. "utachoka wakati udumu kuwatazama na kutamani kuwaona tena."
|
|
|
|
# Hakutakuwa na nguvu mikononi mwako.
|
|
|
|
Hapa "nguvu mkononi mwako" urejea kwa nguvu.
|