forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
663 B
Markdown
24 lines
663 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa azungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
|
|
|
|
# kusababisha maadui zako wanaoinuka dhidi yako kupigwa chini mbele zako
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "kusababisha wewe kuwashinda majeshi ambayo yanawavamia"
|
|
|
|
# lakini watakimbia mbele yako njia saba
|
|
|
|
"lakini watakimbia mbali kutoka kwako kwa njia saba"
|
|
|
|
# njia saba
|
|
|
|
"kwa njia nyingi tofauti"
|
|
|
|
# Yahwe ataamuru baraka kuja kwako katika maghala yako
|
|
|
|
Musa amwelezea Yahwe kuwabariki Waisraeli kama Yahwe alikuwa anamwamuru mtu kuwavamia kwa kumshangao.
|
|
|
|
# na kwa yote ambayo unaweka mkono wako
|
|
|
|
Hii ni nahau. "na kila kitu unachofanya"
|