forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.0 KiB
Markdown
36 lines
1.0 KiB
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# Kumbuka ni jambo gani Amaleki alichofanya kwako
|
|
|
|
Hii ni lahaja, na "Amaleki" ni lugha nyingine kwa ajili ya watu wa Amaleki. "Kumbukeni kile Waamaleki walichowafanyia"
|
|
|
|
# ulipokuwa ukitoka
|
|
|
|
Neno "ukitoka" hapa ni katika wingi.
|
|
|
|
# jinsi alivyokutana na wewe barabarani
|
|
|
|
"jinsi walivyokutana na wewe njiani"
|
|
|
|
# na kuwashambulia kati yenu kwa nyuma
|
|
|
|
"na kushambulia wale watu wenu waliokuwa mstari wa nyuma"
|
|
|
|
# wale waliokuwa wamelegea nyuma
|
|
|
|
"watu wote waliokuwa dhaifu nyuma ya mstari"
|
|
|
|
# dhaifu na kuchoka
|
|
|
|
Maneno haya yana maana moja na yanasisitiza jinsi watu walivyokuwa wamechoka. "kuchoka na kuchoka kabisa"
|
|
|
|
# hakumheshimu Mungu
|
|
|
|
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hakuwa anaogopa adhabu ya Mungu" au "hakumheshimu Mungu"
|
|
|
|
# unapaswa kufuta kumbukumbu ya Waamaleki chini ya mbingu
|
|
|
|
"unatakiwa kuwaua Waamaleki wote ili kwamba hakuna yeyote atakayewakumbuka tena"
|