sw_tn/deu/25/17.md

1.0 KiB

Taarifa ya Jumla:

Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.

Kumbuka ni jambo gani Amaleki alichofanya kwako

Hii ni lahaja, na "Amaleki" ni lugha nyingine kwa ajili ya watu wa Amaleki. "Kumbukeni kile Waamaleki walichowafanyia"

ulipokuwa ukitoka

Neno "ukitoka" hapa ni katika wingi.

jinsi alivyokutana na wewe barabarani

"jinsi walivyokutana na wewe njiani"

na kuwashambulia kati yenu kwa nyuma

"na kushambulia wale watu wenu waliokuwa mstari wa nyuma"

wale waliokuwa wamelegea nyuma

"watu wote waliokuwa dhaifu nyuma ya mstari"

dhaifu na kuchoka

Maneno haya yana maana moja na yanasisitiza jinsi watu walivyokuwa wamechoka. "kuchoka na kuchoka kabisa"

hakumheshimu Mungu

Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hakuwa anaogopa adhabu ya Mungu" au "hakumheshimu Mungu"

unapaswa kufuta kumbukumbu ya Waamaleki chini ya mbingu

"unatakiwa kuwaua Waamaleki wote ili kwamba hakuna yeyote atakayewakumbuka tena"