forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
586 B
Markdown
20 lines
586 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# Hutakiwi kumkopesha Muisraeli mwenzako kwa riba
|
|
|
|
"Kama utakopesha kitu kwa Muisraeli mwenzako, hautakiwi kumfanya alipe zaidi ya alivyokopa"
|
|
|
|
# kukopesha kwa riba
|
|
|
|
kumkopesha mtu na kumlazimisha mtu huyo kulipa zaidi ya kile alichokopa
|
|
|
|
# riba ya fedha ... kitu chochote kinachokopeshwa kwa riba
|
|
|
|
"hautakiwi kulipiza riba unapomkopesha mtu pesa, chakula, au kitu chochote"
|
|
|
|
# kila jambo uwekalo mkono wako
|
|
|
|
Hii ni lahaja. "kila unachofanya"
|